Shamba la Ekari 7.5 linauzwa VISIGA- MADAFU

  • TZS 100,000,000
Visiga Ward, Kibaha Town, Pwani Region, Coastal Zone, Tanzania
For Sale
Shamba la Ekari 7.5 linauzwa VISIGA- MADAFU
Visiga Ward, Kibaha Town, Pwani Region, Coastal Zone, Tanzania
  • TZS 100,000,000

Description

*Shamba la Ekari 7.5 linauzwa VISIGA- MADAFU*

*Distance* Kilometer 2 tu kutoka barabara kuu ya *Morogoro road*

-Ndani ya shamba kuna maji safi ya Dawasa, Nyumba ya wafanyakazi, Miti ya miembe, Minazi ya kutosha pia kwasasa shamba linalimwa Njugumawe na Mahindi.

-Shamba lipo mtaa mzuri sana uliojengeka na watu mashuhuri

barabara safi inayopitika vyema na magari ya aina zote

*DOCUMENT* Sales Agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa)

-Shamba limepimwa *(Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)*

*Bei shilingi milioni 100 maongezi kidogo yapo*

  • Address Visiga Ward, Kibaha Town, Pwani Region, Coastal Zone, Tanzania
  • City Kibaha

Details

Updated on November 23, 2024 at 12:08 am
  • Property ID: BFR-385564
  • Price: TZS 100,000,000
  • Property Size: 7.5 ACRES
  • Land Area: 7.5 ACRES
  • Property Type: Land
  • Property Status: For Sale

Contact Information

View Listings

Enquire About This Property

Similar Listings

Compare listings

Compare
HAVEN REALESTATE
  • HAVEN REALESTATE