Viwanja Vipo kilometa 1½ tu kufika baharin. Na ni km2 tu toka inapoishia lami ya mbweni.
__
Bei: TSH MIL 6,800,000/= ( Milioni Sita na laki nane tu) kwa viwanja vya makazi na
: TSH MIL 7,800,000/= (milioni saba na laki nane tu) kwa viwanja vya biashara.
Ukubwa wa viwanja: SQM 400 (Mita 20 kwa 20) unaweza kuunganisha zaidi ya kimoja pia vipo vikubwa zaidi kwa wanaohitaji na bei yake ni tofauti.
__
Location: Mbweni kiembeni. Ni katikati ya mji pamezungukwa na mijengo ya kisasa..
__
umeme na maji vpo site sio vya kusubiri..
Piga :📞