Nyumba ni nzuri sana ipo mbagala wilaya ya temeke kata ya chamanzi mtaa wa dovyo
Ina vyumba vya kulala 4 viwili ni master bedroom
Ina seating room kubwa, daining room,kitchen.public toilet, store
Maji na umeme ina eneo kubwa square meter (800)
Ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi Usha fanyika
Nyumba ina fence.
Kutoka barabara kuu ya rami hadi kwenye nyumba ni dakika (5) tu
Kwa mwendo wa miguu.