Ina uzwa tsh mil 98) tu
Nyumba ipo mbagala
Wilaya ya temeke kata ya chamanzi mtaa wa dovyo
Vyumba vya kulala vipo vnne viwili ni masters bedroom
Sitting room, dining room, jiko na public toilet, store, maji na umeme, Eneo kubwa square meter (800)
Ina documents ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi Usha fanyika
Nyumba ina fence kubwa
Kutoka bar bar kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika (5) tu
Kwa mwendo wa miguu