Nyumba inauzwa ipo Chamazi Dsm

  • TZS 75,000,000

Description

NYUMBA IPO MBAGALA CHAMAZI MTAA WA DOVYA NYUMBA NZURI SANA MPYA KABISA IME JENGWA KISASA IKO VZURI SANA INA UZWA BEI NZURI SANA TSH MIL 75 TU
INA ENEO KUBWA SQUARE MITER 400
INA DOCUMENTS YA MAUZIANO YA OFFICE YA SILIKALI YA MTAA
VYUMBA VYA KULALA VITATU KIMOJA NI MASTER BDROOM INA SITTING ROOM INA DAINING ROOM NA JIKO PAMOJA NA PUBLIC TOILET INA MAJI NA UMEME UPO WA RUKU UKUBWA WA ENEO SQUARE MITER 400
KUTOKA BARA BARA KUU YA LAMI KUJA KWENYE HII NYUMBA NI DAKIKA 3 TU
B

Address

  • City Dar Es Salaam
  • Area Chamazi

Details

Updated on April 20, 2025 at 3:45 am
  • Property ID: BFR-511159
  • Price: TZS 75,000,000
  • Property Type: House
  • Property Status: For Sale

Contact Information

View Listings

Enquire About This Property

Similar Listings

Compare listings

Compare
TONNY BITTA
  • TONNY BITTA