Heka 14 zinauzwa Kibiti, mita 500 kutoka barabara kuu ya rami, au Stand kuu ya Bus ya Kibiti. Shamba lipo jirani na shule ya msingi Kitundu, au makao makuu ya wilaya ya Kibiti.
Ndaji ya shamba kuna rasilimali zifuatazo.
>>Michungwa inazaa sana
>>Michenza inazaa sana
>>Miembe inazaa sana
>>Migomba
>>Miparachichi
>>Mipapai
>>Mikorosho inazaa sana
>>Mawese inazaa sana
Na vinginevyo.
Ni shamba zuri sana lenye ardhi yenye rutba, pia una uwezo kuwa kuchimba kisima ukapata maji safi ya kudumu.
Shamba limezungukwa na barabara kuu zinazoenda makao makuu ya wilaya, umeme upo, majirani wapo na huduma za kijamii zote zinapatikana kwa uhakika kabisa.